VIPINDI KUPITIA RADIO
Karibu sana mdau wa ujasiriamali na yeyote yule mwenye nia ya kujifunza na kubadilishana mawazo pamoja na fursa,
Nitakuwa hewani kupitia radio Mwangaza Fm hasa kwa wakazi wa Dodoma na miji ya Jirani, ni kila jumanne saa mbili na nusu usiku ya kila wiki na marudio yake ni kila alhamisi saa tano asubuhi.
Nitakuwa hewani kupitia radio Mwangaza Fm hasa kwa wakazi wa Dodoma na miji ya Jirani, ni kila jumanne saa mbili na nusu usiku ya kila wiki na marudio yake ni kila alhamisi saa tano asubuhi.
Comments