Vipindi vya redio ni kila jumanne saa mbili na robo usiku na marudio yake ni kila alhamisi saa tano asubuhi Radio Mwangaza Fm 98.0

Kwa wale wenye malengo ya kujifunza zaidi karibu ushirikiane nami kwenye vipindi vya redio na hasa kwa wakazi wa Dodoma na miji iliyo Jirani kama vile Babati, Manyara, Morogoro na maeneo ya Iringa.
Kwa maswali, ushauri, na hata elimu zaidi unaweza kupiga simu namba 0714 477092 au 0721 020164 na email bonmas2005@gmail.com   www.bonmas2005.simplesite.com

Comments

Popular posts from this blog

NINI MAANA YA UJASIRIAMALI?

TOFAUTI KATI YA MJASIRIAMALI NA MFANYABIASHARA

TABIA NA SIFA ZA MJASIRIAMALI